Thursday, July 17, 2025

Simba SC yatanguliza mguu mmoja nusu fainali kombe la Shirikisho

Share

Goli pekee la Jean Charles Ahoua katika dakika ya 45+2 kwenye Uwanja wa Amaan, limeiwezesha Simba kupata ushindi wa 1-0 dhidi ya Stellenbosch, katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika

Licha ya ushindi, Wachezaji wa Simba wamekosa nafasi kadhaa za wazi katika mtanange huo, hivyo mchezo wa marudio unatarajiwa kupigwa Aprili 27, 2025 kwenye Dimba la Moses Mabhida, Durban, Afrika Kusini

Mshindi baina ya pande hizo anatarajiwa kukutana na mshindi wa mechi kati ya RS Berkane ya Morocco na CS Constantine ya Algeria

Table of contents [hide]

Read more

Local News