Wednesday, July 16, 2025

Fredy Lowassa kutetea ubunge Monduli

Share

Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredy Lowassa amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa na chama chake cha CCM kutetea nafasi yake ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025 nchini

Fredy ambaye alikabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, amekuwa mtangaza nia wa kwanza kujitokeza kuchukua fomu hiyo baada ya zoezi la uchukuaji fomu kufunguliwa rasmi kufuatia kuvunjwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano, katikati ya wiki hii

Table of contents [hide]

Read more

Local News