By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Hakikisheni CCM inaendelea kutawala – Dk. Mwinyi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Uncategorized

Hakikisheni CCM inaendelea kutawala – Dk. Mwinyi

Mwandishi Wetu
Last updated: February 5, 2025 1:50 pm
Mwandishi Wetu
4 months ago
Share
SHARE

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amewataka wana-CCM kuhakikisha chama hicho kinaendelea kushika dola katika pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama inavyoelezwa katika Katiba ya CCM.

Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma. Alipongeza viongozi, wanachama, na wapenzi wa CCM kwa mafanikio makubwa yaliyojiri katika kipindi hicho cha miaka 48.

“Kwa hakika, wana-CCM tunayo kila sababu ya kufurahi na kujivunia mafanikio makubwa ambayo chama chetu kimeyapata. Sote tunawajibika kuyadumisha mafanikio haya kwa kuimarisha umoja na mshikamano. Tunakabiliwa na uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka huu, hivyo ni jukumu letu kuhakikisha chama chetu kinaendelea kushika dola,” alisema Dk. Mwinyi.

Aidha, Dk. Mwinyi alisisitiza umuhimu wa kuwaandikisha wanachama wote katika daftari la wapiga kura na kuwahamasisha kwenda kupiga kura wakati wa uchaguzi, ili kuhakikisha CCM inashinda na kuendelea kushika dola.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Celebrity Make-up Artist Gary Meyers Shows you His Beauty Tricks

The Biggest Hollywood Celebrities Visit the Jungles of Thailand

Moroccan Shrimp with Garlic Mayonnaise Paella Dish in Southern Spain

Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi saidieni kutatua kero za walimu

Best Places to Get Your Mexican Food Fix When You Visit Mexico City

Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article The Most Popular Celebrity Name List of the Millennium is Here
Next Article Tutafanya uchaguzi wenye uadilifu – CCM
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version