By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: UCHUNGUZI WA VURUGU SHULE YA SEKONDARI YA GEITA, WANAFUNZI 71 WACHUKULIWA HATUA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Mikoani

UCHUNGUZI WA VURUGU SHULE YA SEKONDARI YA GEITA, WANAFUNZI 71 WACHUKULIWA HATUA

Gharos Riwa, Geita
Last updated: February 25, 2025 11:30 am
Gharos Riwa, Geita
3 months ago
Share
SHARE

Kama mnavyokumbuka kwamba, Jeshi la Polisi Mkoani Geita Februari 21, 2025 lilitoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwashikilia wanafunzi thelathini (30) wa Kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Geita iliyopo Manispaa ya Geita kutokana na vitendo vya kufanya vurugu shuleni hapo Februari 20, 2025 majira ya saa 2 usiku.

Jeshi la Polisi limekamilisha uchunguzi wa tukio hilo kwa kuwahoji wanafunzi thelathini (30) waliokamatwa Februari 20, 2025 na wengine 41 na kufanya wanafunzi waliohojiwa kuwa sabini na moja (71). Uchunguzi wa tukio hilo umekamilishwa kwa kushirikiana na Bodi ya Shule ya Sekondari ya Geita na tayari hatua zimechukuliwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za shule dhidi ya wanafunzi sabini na moja (71) waliobainika kuhusika kwenye tukio hilo.

Wanafunzi saba (07) wamefukuzwa Shule ambao ni Laban Manjano aliyelikuwa kiranja mkuu wa Shule hiyo mwaka 2024 alihamasisha mgomo na vurugu hizo, Elias Zacharia, Harrizon Malinga, Ahmed Mashaka, Frank Paulo, Erick Atanga na Alphonce Makelemo.

Aidha, waliosimamishwa shule hadi Mei 05, 2025 ni Wanafunzi 19 na wanafunzi 45 wamesimamishwa shule kwa muda wa siku 21.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Wawili wafariki dunia ajali ya basi Geita

Mikindani kutumia bilioni 33 mwaka ujao wa kifedha

Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi saidieni kutatua kero za walimu

Hakikisheni elimu ya malezi inaifikia jamii kikamilifu – Theresia Ngonyani

Chato yakabiliwa na upungufu wa madawati shule za msingi

TAGGED:GeitaVuruguWanafunzi
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Mhe. Kanyasu atimiza ahadi ya pikipiki kwa wanahabari Geita
Next Article Wanafamilia washikiliwa na Polisi wakituhumiwa kuua baba yao mzazi
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version