By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Wawili wafariki dunia ajali ya basi Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Mikoani

Wawili wafariki dunia ajali ya basi Geita

Mwandishi Wetu
Last updated: February 28, 2025 8:53 am
Mwandishi Wetu
3 months ago
Share
SHARE

Jeshi la Polisi linathibitisha ajali iliyotokea Februari 24, 2025 saa 2 usiku katika eneo la Mpomvu, Kata ya Mtakuja, Wilaya ya Geita ambapo Basi aina ya TATA lenye namba za usajili T.422 DMQ mali ya kampuni ya SOMA lililokuwa likitokea Geita Mjini kwenda Katoro likiendeshwa na dereva aitwaye Hakimu Changa, umri 39, Mnyakyusa liligonga Pikipiki SANLG yenye namba za usajili MC.730 CLS na kusababisha vifo, majeraha na uharibifu wa mali.

Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa pikipiki tajwa pamoja na abiria mmoja ambao wote hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Geita kwa taratibu za uchunguzi na utambuzi. Aidha, mtu mmoja ambaye alikuwa abiria wa pili kwenye pikipiki hiyo amepata majeraha makubwa kichwani na kuvunjika miguu yote miwili, anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Geita.

Imebainika, chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa Basi kushindwa kuwajali watumiaji wengine wa barabara. Dereva wa Basi tajwa aitwaye Hakimu Changa, umri 39, Mnyakyusa mkazi wa Mwanza amekamatwa kwa mahojiano. Uchunguzi wa ajali hii unakamilishwa kwa haraka na upo katika hatua za mwisho na mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani muda wowote kuanzia sasa.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Watu 7 wapoteza maisha ajali ya ambulance na toyo wilayani Mafinga

DC Mwaipaya aagiza mikopo ya vijana, wanawake wenye ulemavu kutolewa haraka

Wapeni wake zenu nafasi ya kuendeleza ujuzi wao

Wanafamilia washikiliwa na Polisi wakituhumiwa kuua baba yao mzazi

UCHUNGUZI WA VURUGU SHULE YA SEKONDARI YA GEITA, WANAFUNZI 71 WACHUKULIWA HATUA

TAGGED:AjaliGeitaUsalama Barabarani
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Hamasisheni Uwekezaji Mtwara – Dk. Hussein
Next Article Chato yakabiliwa na upungufu wa madawati shule za msingi
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version