By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Dk. Kalemani – Sauti ya Wanawake ni Sauti ya Mungu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Kitaifa

Dk. Kalemani – Sauti ya Wanawake ni Sauti ya Mungu

Gharos Riwa, Geita
Last updated: March 3, 2025 1:31 pm
Gharos Riwa, Geita
3 months ago
Share
SHARE

Chato, Geita – Mbunge wa Jimbo la Chato, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, amesema sauti ya wanawake ni sauti ya Mungu na wengi, akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Dkt. Kalemani alitoa kauli hiyo Machi 1, 2025, wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Wanawake na Samia katika Kata ya Bwanga, Wilaya ya Chato, akisisitiza kuwa Tanzania ni nchi yenye utulivu, amani, na mshikamano mkubwa, hali ambayo imechochewa na uongozi wa Rais Samia.

Alieleza kuwa serikali imewekeza katika maendeleo ya miundombinu mkoani Geita, hususan katika Kata ya Bwanga, ambapo huduma za umeme, maji safi, barabara za lami, na stendi ya mabasi zipo katika hali nzuri.

Mbunge huyo aliwataka wanawake kupitia taasisi hiyo kushiriki kikamilifu katika kueneza mafanikio ya Rais Samia kwa Watanzania wote. “Sauti ya wanawake ni sauti ya Mungu na ya wengi, hivyo ni muhimu kuzungumza mazuri yanayofanywa na serikali,” alisisitiza Dkt. Kalemani.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Kusitishwa ufadhili wa Marekani na hatma ya Wafanyakazi wa mashirika Tanzania

Watu 7 wapoteza maisha ajali ya ambulance na toyo wilayani Mafinga

Mabasi Mapya ya Mwendokasi kuanza kupokelewa mwezi Aprili

Polisi Simiyu watoa ufafanuzi gari lao kubeba wanachama wa CCM

Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi saidieni kutatua kero za walimu

TAGGED:GeitaWanawake
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi saidieni kutatua kero za walimu
Next Article Sita wafariki dunia ajali ya basi na lori Dodoma
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version