By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Sita wafariki dunia ajali ya basi na lori Dodoma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
KitaifaMikoani

Sita wafariki dunia ajali ya basi na lori Dodoma

Mwandishi Wetu
Last updated: March 4, 2025 6:15 am
Mwandishi Wetu
3 months ago
Share
SHARE

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya kutokea ajali katika eneo la Chigongwe Jijini Dodoma majira ya saa 4 usiku wa Machi 03,:2025.

Ajali hiyo imehusisha lori na basi lenye namba za usajili T405 BYS, mali ya kampuni ya AN Classic lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Kigoma.

Mashuhuda wa ajali hiyo wamedai kuwa lori lililohusika katika ajali hiyo lilikuwa limeharibika barabarani na hakukuwekwa alama yoyote ya tahadhari, na hivyo kuchangia kutokea kwa ajali hiyo.

Wengine wamedai kuwa mwendokasi wa basi hilo unaweza kuwa chanzo cha ajali hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akiwa na vyombo vya usalama alifika katika eneo la ajali na kusema kuwa majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu, huku 23 kati yao ikielezwa tayari wamefanyiwa upasuaji.

Miili ya watu waliofariki dunia katika ajali hiyo nayo imehifadhiwa katika hospitali hiyo, kusubiri utambuzi wa ndugu zao.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Polisi watangaza ajira kwa wenye elimu ya kuanzia kidato cha nne

Serikali yazidi kuimarisha imarisha huduma za fedha ikizundua jengo la Hazina Ndogo Geita

Tanzania yatwaa tuzo ya uimarishaji usalama barabarani kimataifa

Mikindani kutumia bilioni 33 mwaka ujao wa kifedha

Polisi Simiyu watoa ufafanuzi gari lao kubeba wanachama wa CCM

TAGGED:AjaliVifo
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Dk. Kalemani – Sauti ya Wanawake ni Sauti ya Mungu
Next Article Mbunifu wa jina la TANZANIA afariki dunia akiwa Uingereza
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version