By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Video ya mabinti wanaompigania Mwijaku yatua mezani kwa Mhe. Gwajima
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Uncategorized

Video ya mabinti wanaompigania Mwijaku yatua mezani kwa Mhe. Gwajima

Mwandishi Wetu
Last updated: April 20, 2025 7:43 pm
Mwandishi Wetu
4 weeks ago
Share
SHARE

Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dorothy Gwajima ametoa taarifa inayothibitisha kupokea videos zinazoonesha mabinti kadhaa wakishirikiana kumdhalilisha binti mwingine kwa maneno na vipigo na mambo mengine mabaya ambapo, watoa taarifa waanadai kuwa mabinti hao wote ni wanafunzi wa vyuo vikuu viwili tofauti nchini huku wengine wakidaiwa kuwa, wanasoma darasa moja na huyo binti wanayemdhalilisha na kumrekodi.

Aidha, kwenye mazungumzo yao kama yanavyosikika, inaonekana ni ugomvi wa kumgombania mwanaume anayetajwa kwa jina moja la Mwijaku.

Waziri Gwajima aameonyesha kusikitishwa kusikia mabinti aliowaita wasomi ambao, wangetakiwa kujikita kwenye elimu na kuunganisha nguvu kupambana kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto badala yake wanatumia nguvu zao na elimu zao kukatiliana, kudhalilishana na kujidhalilisha wao kwa wao.

Hivyo ameweka wazi kuwa amechukua hatua kwa kuwasiliana na muhanga wa tukio hilo na kumuunganisha na huduma za ustawi wa jamii, msaada wa kisaikolojia na huduma za dawati la jinsia Polisi ambapo pia atapata msaada wa kisheria ili haki itendeke pia, amebainisha kuwa anawasiliana na wakuu wa vyuo ili haki itendeke pamoja na Waziri wa Elimu kwa hatua zaidi.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Geita yafikia 95% utekelezaji wa ilani ya CCM

The Most Popular Celebrity Name List of the Millennium is Here

The Best Pork Kebabs With Grilled Plums and Couscous is Found in Poland

Kristen Stewart Was Seen Having Lunch in Toronto with Boyfriend

Moroccan Shrimp with Garlic Mayonnaise Paella Dish in Southern Spain

Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article DKT. BITEKO: Wakristo liombeeni Taifa
Next Article Simba SC yatanguliza mguu mmoja nusu fainali kombe la Shirikisho
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version