Kitaifa
Dk. Mwinyi aikaribisha Canada kuwekeza katika utalii na biashara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa sekta ya utalii ni sekta ya kipaumbele kwa Zanzibar, ikichangia takribani asilimia 30 ya...
Kitaifa
“Siku ya kupiga kura, akili za kuambiwa changanya na zako” – JK
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema, licha ya vyama mbalimbali vya siasa kuwa na kauli mbiu zake zikiwamo za "Piga kura linda kura (ACT Wazalendo,...
Kimataifa
Rais Samia kufungua Mkutano wa Kimataifa wa Mabaraza ya Habari Afrika
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mabaraza ya Habari Afrika utakaofanyika kuanzia tarehe 14 hadi 17 Julai 2025. Mkutano huo utafanyika katika...
Kitaifa
AJALI ZA BARABARANI ZINACHANGIA ASILIMIA 55 YA WANAOLIPWA FIDIA WCF
Karibu asilimia 55 ya taarifa za vifo vinavyoripotiwa katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi nchini (WCF) ni zile zinazoonyesha kuwa chanzo chake ni ajali...
Kitaifa
Mkuu wa Wilaya Ubungo ateuliwa Mkurugenzi Mtendaji TANESCO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...
Kitaifa
DKT. BITEKO: Wakristo liombeeni Taifa
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wakristo kuliombea Taifa amani, utulivu, umoja na mshikamano uendelee ikiwa ni kuelekea...
Kitaifa
Watu 7 wapoteza maisha ajali ya ambulance na toyo wilayani Mafinga
Watu saba wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali ya gari la kubeba wagonjwa (ambulance) kugongana na toyo katika eneo la Luganga, lililopo...
Kitaifa
CHADEMA: Tundu Lissu yuko Ukonga, nendeni mkamuone
Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), umewatoa hofu wanachama wake na wananchi kwa ujumla kuhusu hali ya mwenyekiti wa chama hicho, Tundu...
Kitaifa
LATRA kutilia mkazo uchunguzi wa ajali za barabarani
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), taendelea kuweka kipaumbele katika kufanya uchunguzi wa ajali za barabarani ili kubaini visababishi vya ajali hizo hatua ambayo...
Kitaifa
RC Dar: Usalama Dar ni shwari, Ujenzi Jangwani mboini kuanza
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amewatoa hofu wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuhusiana na hali ya usalama katika...
Kitaifa
Rais Samia aagiza madereva wanaosababisha vifo kufutiwa kabisa leseni zao
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameviagiza vyombo vya usalama barabarani nchini kuongeza nguvu katika usimamizi wa sheria...