Wednesday, July 16, 2025

Kuelekea Oktoba 2025

‘Wawania ubunge’ 11 Kilimanjaro, wahojiwa TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imewahoji watia nia 11 wa nafasi ya Ubunge katika Mkoa wa Kilimanjaro, kutokana na malalamiko ya rushwa yaliyowasilishwa. Mkuu wa TAKUKURU mkoani...

KUELEKEA OKTOBA 2025: Kwa nini watia nia wengi wanakimbilia CCM?

Mbio za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zinazidi kushika kasi. Ni uchaguzi ambao Watanzania watamchagua rais wa Jamhuri ya Muugano, wabunge, madiwani na...

Fredy Lowassa kutetea ubunge Monduli

Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredy Lowassa amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa na chama chake cha CCM kutetea nafasi yake ya ubunge katika uchaguzi...

“Siku ya kupiga kura, akili za kuambiwa changanya na zako” – JK

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema, licha ya vyama mbalimbali vya siasa kuwa na kauli mbiu zake zikiwamo za "Piga kura linda kura (ACT Wazalendo,...