By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Papa Francis afariki dunia Jumatatu ya Pasaka
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Kimataifa

Papa Francis afariki dunia Jumatatu ya Pasaka

Mwandishi Wetu
Last updated: April 21, 2025 9:39 am
Mwandishi Wetu
4 weeks ago
Share
SHARE

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo April 21,2025 kwenye Jumatatu ya Pasaka akiwa na umri wa miaka 88.

Vatican imethibitisha kifo cha kiongozo huyo wa kanisa ambaye atakumbukwa kama kiongozi wa mageuzi wa Kanisa Katoliki ambaye alitaka kufanya vipaumbele vya uchungaji na umma vya Vatikani kuwa vya kisasa,

Papa Francis, ambaye alikuwa papa wa kwanza kuzaliwa au kukulia nje ya Ulaya katika karne 12, wa kwanza kutoka Amerika na Mjesuti wa kwanza kushika nafasi hiyo amefariki akiwa kwenye makazi yake Vatican na taarifa zaidi kuhusu kifo chake zitatolewa.

Papa ambaye alizaliwa mwaka 1936 hivi karibuni amepitia changamoto ya upumuaji hadi kuhitaji mashine ya kusaidia kupumua na amekuwa akikabiliwa na matatizo ya kiafya ikiwemo maambukizi ya mapafu(nimonia) hadi kupelekea kulazwa kwa wiki kadhaa kabla ya baadaye afya yake kuimarika.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Trump aiwekea vikwazo mahakama ya kimataifa ya uhalifu

Je wajua kwamba Pepsi iliwahi kuwaokoa washindani wake CocaCola dhidi ya wizi wa kibiashara?

Dkt. Samia Suluhu Hassan ampongeza Rais wa Namibia baada ya kuapishwa

Mbunifu wa jina la TANZANIA afariki dunia akiwa Uingereza

Kusitishwa ufadhili wa Marekani na hatma ya Wafanyakazi wa mashirika Tanzania

TAGGED:Papa FrancisTanzia
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Simba SC yatanguliza mguu mmoja nusu fainali kombe la Shirikisho
Next Article Mkuu wa Wilaya Ubungo ateuliwa Mkurugenzi Mtendaji TANESCO
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version