By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: SULEIMAN MATOLA: Tunamchukulia poa poa kwakuwa ni Mtanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Michezo

SULEIMAN MATOLA: Tunamchukulia poa poa kwakuwa ni Mtanzania

Mwandishi Wetu
Last updated: March 20, 2025 10:46 am
Mwandishi Wetu
2 months ago
Share
SHARE

KOCHA Pitso Mosimane aliamua kumsajili Selemani Matola katika kikosi cha Super Sport ya Afrika Kusini bila ya majaribio.

Katika mahojiano aliyofanya na mwandishi nguli wa habari za michezo nchini, Salehe Ally (Jembe), kocha huyo alisema hakukuwa na haja wakati huo kumjaribu tena Matola sababu mechi mbili Simba Vs Asante Kotoko ya Ghana na Tusker ya Kenya ambao wote walifungwa na Simba katika nusu Fainali na Fainali ya Tusker Cup, Matola alikuwa nyota wa mchezo.

Kwa sasa Matola ni mmoja wa makocha bora wazalendo licha ya kwamba wangeweza kuwa bora zaidi wakishika usukani wa kocha Mkuu.

Matola kajifunza mengi kupitia Simba akiwa msaidizi. Amesimama nyuma ya makocha wa nchi mbali mbali wenye filosofia tofauti na za aina tofauti. Hii inamfanya kuwa bora zaidi.

Licha ya kwamba amekuwa na “damu ya kunguni” Kila Simba ikiyumba anaangushiwa “gari bovu” lakini uhalisia sahihi yeye ni daraja katika ya klabu yake na makocha wa kigeni.

Amekuwa ndiye anayewaelekeza Simba inataka nini, upi ni utamaduni wa maisha ya soka la Simba lakini kwa wachezaji ni Imani naye kubwa na taarifa za uwezo wake kwa kuwa akiwa nahodha aliwahi “kuivua” ubingwa wa Afrika na ubora wa Afrika klabu ya Zamalek, tena kwao jijini Cairo.

Angekuwa si mzawa angeonekana “bonge la kocha”, uzalendo wake umekuwa adhabu lakini amebahatika heri ya subira na kuna siku asipokuwepo Simba watu wengiwatatamani arejee kwa kuwa yeye ni Simba kuanzia jezi yenye jasho uwanjani na sasa ni mapambano kwenye benchi

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Gamondi aachana na Al Nasr ya Libya kisa mshahara

Stellenbosch kuwakosa wakali wawili ikiivaa Simba kombe la Shirikisho

Serikali haitaki kutia neno sakata la “dabi” iliyoahirishwa

Ndoa ya Yanga na Ramovic yavunjika kwa makubaliano

Buriani Hashim Lundenga aka baba wa Miss Tanzania

TAGGED:KabumbuKandandaMatolaSoka
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Bilioni 82.84 zimekopeshwa kwa vijana na wanawake nchini
Next Article Gamondi aachana na Al Nasr ya Libya kisa mshahara
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version