By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
YanayojiriYanayojiriYanayojiri
  • Home
  • Home
    • Home 2
    • Home 3Hot
    • Home 4
    • Home 5New
  • Posts
    • Post Layouts
    • Gallery Layouts
    • Video Layouts
    • Audio Layouts
    • Post Sidebar
    • Review
      • User Rating
    • Content Features
    • Table of Contents
  • Pages
    • Search Page
    • 404 Page
Reading: Serikali haitaki kutia neno sakata la “dabi” iliyoahirishwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
YanayojiriYanayojiri
Font ResizerAa
  • Categories
  • Home
    • Home 1
    • Home 2
    • Home 3
    • Home 4
    • Home 5
  • More Foxiz
    • Login
    • Contact
    • Blog
    • Buy Theme
  • Demos
  • Categories
  • Bookmarks
  • More Foxiz
    • Sitemap
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Michezo

Serikali haitaki kutia neno sakata la “dabi” iliyoahirishwa

Mwandishi Wetu
Last updated: March 20, 2025 11:15 am
Mwandishi Wetu
2 months ago
Share
SHARE

Utata unaoendelea kuhusu mchezo wa Simba dhidi ya Yanga ulioahirishwa na Bodi ya Ligi Machi 8 kutokana Simba kuzuiliwa kufanya mazoezi, suala hilo linabaki kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) na vyombo vyake, kwani serikali haitaki kutia neno.

Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo na Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa ameeleza hayo leo Machi 16 wakati akijibu swali la mwandishi wa habari lililohoji ni upi uamuzi wa serikali kuhusu kuahirishwa kwa mchezo huo.

Akijibu swali hilo mbele ya waandishi wa habari kutokea Bandari Kavu ya Kwala, mkoani Pwani, Msigwa amesema ikitokea TFF wamepeleka suala hilo serikalini basi kwa pamoja watajadili ila kwa sasa serikali haina neno kwa suala lipo kwenye mamlaka zinazohusika.

“Mengine nani alikuwa sahihi na hakuwa sahihi mkawaulize TFF, wao ndio watakuwa na majibu ya jambo hili, lakini sisi kwa sasa serikalini bado tunaona jambo linaweza likatatuliwa na Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF) na wadau wake.

Share this:

  • Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
  • Click to share on X (Opens in new window) X

You Might Also Like

Gamondi aachana na Al Nasr ya Libya kisa mshahara

Stellenbosch kuwakosa wakali wawili ikiivaa Simba kombe la Shirikisho

Simba waja na kaulimbiu ya HII TUNAVUKA mahususi kwa Al Masry

Buriani Hashim Lundenga aka baba wa Miss Tanzania

Ndoa ya Yanga na Ramovic yavunjika kwa makubaliano

TAGGED:DabiMichezoSimbaYanga
Share This Article
Facebook Email Print
Previous Article Gamondi aachana na Al Nasr ya Libya kisa mshahara
Next Article Wananchi Mtwara wawaelimishwe kuhusu uchaguzi mkuu – Padri Kitima
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

UNGANA NASI

Unaweza kuwa sehemu ya familia hii kwa kuchangia kuleta taarifa za yanayojiri eneo lako, kuchangia makala, kushirikisha uzoefu wako kwa kutoa maoni na hata kuuliza ili kufahamu zaidi. Kujiunga nasi, tafadhali tuandikie kupitia karibu@yanayojiri.com  

© Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Join Us!
Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..
Zero spam, Unsubscribe at any time.
Go to mobile version